HomeRadio Vaticana
foto testata  

Categories


  Charity & Solidarity


  Church


  Culture & Society


  Vatican Documents


  Synod


  Ecumenism


  Family


  Youth


  Justice & Peace


  Politics


  Religion & Dialogue


  Science & Ethics


  Audiences
   & Angelus



  Pastoral visits


cx_t06

CTV - You tube

CTV



 home > Church > news


04/11/2009 11.03.01



Benedikto XVI kuongoza Ibada ya kuwaombea marehemu Makardinali na Maaskofu Siku ya Alhamisi asubuhi






Baba Mtakatifu Benedikto wa kumi na sita, siku ya alhamisi, tarehe 5 Novemba, 2009 saa tano na nusu saa za Ulaya anatarajiwa kuadhimisha Ibada ya Misa Takatifu kwa ajili ya kuwaombea marehemu Makardinali, Maaskofu wakuu na Maaskofu waliofariki dunia katika kipindi cha Mwezi Novemba, 2008 hadi kufikia Novemba 2009. Ibada hii itafanyika kwenye Kanisa kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican.

Taarifa kutoka Vatican inabainisha kwamba, kuna jumla ya Maaskofu ishirini na mbili walifariki dunia katika kipindi cha mwaka 2008. Idadi hii imeongezeka maradufu kwa mwaka 2009 kwani hadi kufikia tarehe 3 Novemba, 2009 kuna Maaskofu sabini na nane waliokwishafariki dunia.

Katika Ibada hiyo ya misa takatifu, Baba Mtakatifu atawakumbuka Makardinali saba na jumla ya Maaskofu mia moja. Raha ya milele uwape Ee Bwana na Mwanga wa Milele Uwaangazie, wapumzike kwa Amani. Amina.


  « back to index

 






05/11/2009 12.09.52
Benedikto XVI anawaalika waamini kuyaelekeza macho yao nyumbani kwa Baba kwa imani na matumaini


04/11/2009 15.36.45
Debate is necessary but the Truth must prevail, said Pope Benedict at the midweek General Audience.


04/11/2009 10.11.37
Taarifa ya ziara ya mkaguzi wa kitume kwa mashirika ya kitawa nchini Marekani: matumaini na wasi wasi kwa siku za usoni!


04/11/2009 9.49.31
Msalaba ni kielelezo cha upendo, umoja na huruma ya Mungu kwa watu wake! Si chanzo cha chuki na uhasama!


03/11/2009 11.47.24
"Wasindikizeni mapadre wenu kwa sala na sadaka katika hija yao ya utakatifu wa maisha"



Related categories


Page précédente  Previous page
Page d'accueil  Home Page
Ecrire à la rédaction  Contact us
top
top
All the contents on this site are copyrighted ©. Webmaster / Credits / Legal Conditions
top
top